𝗜𝗦𝗠𝗔𝗡I 𝗪𝗔𝗝𝗜𝗧𝗢𝗞𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗜𝗡𝗚𝗜 𝗞𝗨𝗠𝗖𝗛𝗔𝗚𝗨𝗔 𝗠𝗥𝗜𝗧𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗟𝗨𝗞𝗨𝗩𝗜

𝗜𝗦𝗠𝗔𝗡I 𝗪𝗔𝗝𝗜𝗧𝗢𝗞𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗜𝗡𝗚𝗜 𝗞𝗨𝗠𝗖𝗛𝗔𝗚𝗨𝗔 𝗠𝗥𝗜𝗧𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗟𝗨𝗞𝗨𝗩𝗜

Mwananchi Mkazi wa wa Kijiji cha Kihongorota katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa, Angelista Mwenda akipiga kura katika uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Ismani uliofanyika leo Juni 01, 2026. 
Wananchi wa Kijiji cha Mkungugu jimbo la Ismani katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa mkoani Iringa wakiwa katika foleni ya kupiga kura ya kumchagua Mbunge wao katuika uchaguzi mdogo uliyofanyika leo Juni 01, 2026. 
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akipita kuingia katika kituo cha Kura cha Ofisi ya Kijiji Mtera katika jimbo la Ismani Wilaya ya Iringa mkoani Iringa kukagua mwenendo wa zoezi la kupiga kura kwa wananchi wa Ismani lililofanyika leo Juni 01,2026. 

(Picha zote na INEC)

Post a Comment

0 Comments