Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania Jumuiya ya Chama Cha Mapinduzi (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) (kulia) akiwa na Makamu Mwenyekiti Ndg. Zainab Khamis Shomari (MNEC), Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Ndg. Tunu Juma Kondo, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi MNEC. Nadra Ghulam, Wajumbe wa Kamati Utekelezaji ya UWT Taifa pamoja na Baraza Kuu la UWT wakiwa tayari kuanza Safari kuelekea Mkoa wa Pwani kwaajili ya ziara ya kikazi siku 10 kuanzia leo Mei 6, 2025 hadi Mei 16. 2025. Ziara hii ya kihistoria itanzia Wilaya ya Rufiji.









0 Comments