Chatanda aliyeambatana na Makamu Mwenyekiti wa UWT Ndg. Zainab Khamis Shomari (MNEC) Wajumbe wa NEC, na Wajumbe wa Baraza Kuu la UWT, amesema Serikali kupitia Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa imefanya mambo mengi ya kimaendeleo katika Sekta ya Afya, Elimu, Miundombinu pamoja na Uwezeshaji Wananchi kiuchumi kwa kuwapatia mikopo yenye Riba nafuu ili kuwainua kiuchumi.
Pamoja na mambo mengine Chatanda, akawakumbusha wananchi wa Rufiji kujitokeza kwenye uboreshaji wa taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga









0 Comments