JUMUHIYA YA WAZAZI CCM, KATA YA MAENDELEO MJINI MBEYA YATOA MSAADA KWA WAJAWAZITO NA WATOTO WENYE UHITAJI

JUMUHIYA YA WAZAZI CCM, KATA YA MAENDELEO MJINI MBEYA YATOA MSAADA KWA WAJAWAZITO NA WATOTO WENYE UHITAJI

Wajumbe wa Jumuia ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Maendeleo Mbeya Mjini wakiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Shle ya Msingi Maendeleo baada ya kkabidhi msaada kwa wanafunzi wenye uhitaji Aprili 3, 2025.

........................................

Na Zuhura Jafari, Mbeya.

WAJUMBE wa Jumuia ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Maendeleo Mbeya Mjini imetembelea Kito cha Afya cha Kiwanja Mpaka na ktoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wanawake waliokuwa wodi ya wazazi na watoto.

Tukio hilo limefanyika Aprili 3, 2025 kwa kutoa msaada ho wa vitu mbalimbali kama vile Sabuni, maji ya kunywa na ‘Pampers’ kwa ajili ya watoto wachanga.

 Katika tkio hilo viongozi mbalimbali wa Jmhiya hiyo walishiriki wakiongozwa na Mwenyekiti wao Kata  Pantaleo Shiyo ambapo pia walipata fursa ya kutembelea Shule ya Msingi Maendeleo na kutoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalum kwa kuwapa madaftari, kalamu za kuandikia na madawati matatu kwa ajili ya watoto hao.

Msaada ukitolewa Kituo cha Afya cha Kiwanja Mpaka.
Wajumbe hao wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhi msaada huo.
 

Post a Comment

0 Comments