RAIS SAMIA AKISALIMIANA NA WANANCHI BAADA YA KUWASILI MPANDA MKOANI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI

RAIS SAMIA AKISALIMIANA NA WANANCHI BAADA YA KUWASILI MPANDA MKOANI KATAVI KWA ZIARA YA KIKAZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Mpanda mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mpanda mkoani Katavi tarehe 12 Julai, 2024. Rais Mhe. Dkt. Samia ameanza Ziara ya Kikazi Mkoani humo ambapo atakagua na kufungua miradi mbalimbali ya Maendeleo pamoja na kuzungumza na Wananchi






 

Post a Comment

0 Comments