Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Bariadi katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Simiyu tarehe10 Oktoba, 2025.

Mkutano ukifanyika
Taswira ya mkutano huo.

Matukio mbalimbali kwenye mkutano huo.

Shamrashamra katika mkutano huo.